News

Kikao cha Wadau wa Kemikali ya Sulphur

Ukumbi wa Hazina, Dar es Salaam - Julai 24, 2026

6 Photos
Sulphur chemical stakeholders meeting photo 5
Regulatory Services

Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali aongoza kikao cha wadau wa kemikali ya Sulphur

Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo, ameongoza kikao cha wadau wa kemikali ya Sulphur ili kujadiliana namna bora ya usafirishaji wa kemikali hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina jijini Dar es Salaam Julai 24, 2026.

Sulphur chemical stakeholders meeting photo 1
Photo 1
Sulphur chemical stakeholders meeting photo 2
Photo 2
Sulphur chemical stakeholders meeting photo 3
Photo 3
Sulphur chemical stakeholders meeting photo 4
Photo 4
Sulphur chemical stakeholders meeting photo 6
Photo 5